Posts

Ufisadi hautoisha tanzania

Magufuli na uwanja wa ndege Chato Ansbert Ngurumo anaandika 6th May 2018 RAIS John Magufuli amekamatika. Sababu za yeye kutopenda kukosolewa, na bidii yake kudhibiti wapinzani hata kwa kumwaga damu, zimeanza kujulikana. Anaogopa wapinzani na vyombo vya habari wasiibue ufisadi wake au wa rafiki zake. Katika siku za hivi karibuni, mbali na “upotevu” wa Sh. 1.5 trilioni ambazo mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG) amesema hakuona zilipo, huku serikali ikijitahidi kufunika sakata hili kwa maelezo yasiyoeleweka, na bila mafanikio, kuna wizi mwingine wa kimfumo unaohusisha Rais Magufuli na watu wake wa karibu. Rais Magufuli anatajwa katika dili la Uwanja wa Ndege wa Chato, ambao ulipangiwa kujengwa kwa Sh. 39 bilioni, lakini hadi sasa umetumia Sh. 42 bilioni, ambazo zimepitishwa bila idhini ya bunge. Wanaojua kinachondelea wanasema fedha hizo nazo “zimepigwa.” Wanachosikitikia ni kwamba rais anajua na anahusika, hata kama mkono wake hauonekani moja kwa moja. Kampun

UNAZI WETU UNAUWA SOKA

Wachambuzi wengi na watangazaji wa mpira tumefeli sana kwenye tukio la kelvin kumtemea mate kwasi. Tukio limekuzwa mno limekuwa ndio story kuliko hata mechi yenyewe na hii nikutokana na baadhi ya wachambuzi wengi kuingia uwanjan wakiwa na matokeo Kelvin alifanya kazi kubwa kuhakikisha okwi na boko hawapi nafasi kabisa ya kuuchezea mpira aliziba njia zote wakishilikiana vizuri na dante  Wengi walitaraji yanga itafungwa gori nyingi na ndio wakwanza kupiga kelele na hii sio kuwa kweli kosa lile liliwakela hapana kilichowakela ni kushindwa kupata matarajio ya matokeo yao Ukiwasikiliza sana wanaolilia kwenye vyombo vya habali niwale wale ambao walitoa utabili wao kuwa simba itashinda kwa kishindo wakimaanisha kwa gori nyingi Hoja yao kubwa ni simba iko vizuri msimu huu imewasajili wachezaji wazuri kwa garama kubwa wakati yanga wachezaji wake sio wapambanaji hawako vizuri wakisahau kuwa mpira ni dak 90 na yeyote anaweza kushinda Nijuzi tu ambapo yanga ilikuwa inacheza na singida

Uozo wa mawaziri

    Source kwinyara Mawaziri wanakuja na pop up majibu kwa report ya CAG, yaani ndani ya wiki mbili sijui wanakua wameshafanya marekebisho. Alafu tunataka kuamini kweli wamerekebisha, report inayobeba madudu ya mwaka mmoja, leo gafla wawe wamesharekebisha na kucover minyoo yote walioiachia muda wote huo. Watanzania puuzeni hayo majibu ya hao Mawaziri njaa, maana report ya CAG mwaka ujao wa fedha wizara hizo hizo mtaona huo ubadhilifu kama kawaida ndio mtaamini hawana lolote hao wanajaribu kuziba ushuzi kwa kiwango cha kiganja. Hayo masifa wanayo mjaza JPM mara katoka kwa Mungu, mara wamuunge mkono, huku matrilioni yanapotea kwa mwaka yanapigwa juu kwa juu. Inaonyesha huu ulaji wa sasa ni wa watu wachache sana, kama wakina Bashite wakina Gambo, lazima wawe mabilionea wezi. Alafu ile mahakama ya mafisadi walishindwaga kuifungua kisa nini? Wanajijua wezi hao. CCM ni ile ile Watanzania tuandamane kuhakikisha hawa adui wa ustawi wa nchi yetu wanaondoka enzini. By onesmo

MUTUNGI ACHA WATU WAFANYE SIASA

MUTUNGI ACHA WATU WAFANYE SIASA Msajili wa vyama vya siasa Nchini, Jaji Francis Mutungi kwa mara nyingine ametoa siku tano kwa Chadema kujieleza kwanini asikichukulie hatua kwa kukiuka sheria na kanuni za maadili ya vyama vya Siasa. #rejea! ... Kuwa Sheria ya vyama vya siasa Ibara ya 11 (1), (a), (4) katiba inatoa haki kwa vyama vya siasa kufanya mikutano na maandamano ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Pia ; Na kwa mujibu wa maadili ya vyama vya siasa , ibara ya (4), (1) (b), (e),kinatoa haki kwa vyama vya siasa kutoa maoni yake na kufanya maandamano kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa. *huyu anaagizwa , natamani kuona tamko lako Mzee , unaifuta Chadema ama la! Maake huishi kutamka ...amua tuone *.

Ajali mbaya yatokea

Mwendesha pikipiki mmoja maarufu kama bodaboda amejeruhiwa vibaya sana baada ya kugongwa na gari ya polisi lenye namba ya usajili pt 2012   Ajali hio imetokea leo asubui majila ya saa moja kibaha maeneo ya hospitali ya mkoa wa pwani ambapo      Bodaboda huyo ambae jina wala kabila lake halikuweza kupatikana mapema amekimbizwa na kulazwa katika hospitali ya mkoa pwani   Mashuhuda wa ajari hio wanalipoti kuwa chanzo cha ajali hio ni mwendo kasi alokuwa nao boda boda ambapo alijikuta kupalamia gari bada ya kushindwa kukata kona na kukaa kwenye saiti yake       Bodaboda huyo anaonekana kaumia sana mguu wa kushoto ambao umevunjika na kupata mchubuko mkubwa na kuvunjika mkono wa kulia By onesmo righton   

Sumaye afunguka kurudi ccm

  Waziri wa zamani mh fredrick sumaye amefunguka juu ya hama hama ya baadhi ya wabunge na madiwani wa chadema ambapo amesema kwa kufanya hivyo niushamba wa siasa    Akijibu swali la mtangazaji wa kituo kimoja hapa jijini ambaye alimuuliza kama atarudi nyumbani kwa maana ya chama cha mapinduzi sumaye alishangaa na kukana kuwa ccm sio nyumbani   Sumaye alimnukuu mwalimu nyerere akisema kuna wakati baba wa taifa alipata kisema ccm sio mama yangu, hivyo ujue kuwa chama cha mapinduzi sio nyumbani     Nilijiunga na upinzaji ili kupigania democrasia, uhuru wa kuongea na kutoa maoni kupinga udicteta ikiwa ni pamoja na kudai utawala bora wa sheria kwa kufwata misingi ya katiba    Aliongeza na kusema kuwa hata kama viongozi waliopo madarakani watafanya yote tunayoyapigania leo atabaki kuwa upinzani ili azidi kuipa chalenji serikal       Sitaki niamin kwamba kweli viongozi wanaohama hawajui siasa ninini au niwanahama kwa eidha mashinikizo flani au kwa kuaidiwa kitu flani, kutishwa na k

TANZIA

      Mke wa mwanasiasa mkongwe na mahili katika siasa za tanzania kingunge ngombale mwilu peres amefariki dunia Akithibitisha juu ya kifo hicho mtoto wake kinje mwilu alisema mama yake umauti umemkuta katika hospital ya taifa muhimbil alikokuwa akitibiwa