UNAZI WETU UNAUWA SOKA
Wachambuzi wengi na watangazaji wa mpira tumefeli sana kwenye tukio la kelvin kumtemea mate kwasi. Tukio limekuzwa mno limekuwa ndio story kuliko hata mechi yenyewe na hii nikutokana na baadhi ya wachambuzi wengi kuingia uwanjan wakiwa na matokeo Kelvin alifanya kazi kubwa kuhakikisha okwi na boko hawapi nafasi kabisa ya kuuchezea mpira aliziba njia zote wakishilikiana vizuri na dante Wengi walitaraji yanga itafungwa gori nyingi na ndio wakwanza kupiga kelele na hii sio kuwa kweli kosa lile liliwakela hapana kilichowakela ni kushindwa kupata matarajio ya matokeo yao Ukiwasikiliza sana wanaolilia kwenye vyombo vya habali niwale wale ambao walitoa utabili wao kuwa simba itashinda kwa kishindo wakimaanisha kwa gori nyingi Hoja yao kubwa ni simba iko vizuri msimu huu imewasajili wachezaji wazuri kwa garama kubwa wakati yanga wachezaji wake sio wapambanaji hawako vizuri wakisahau kuwa mpira ni dak 90 na yeyote anaweza kushinda Nijuzi tu ambapo yanga ilikuwa inacheza na singida