UNAZI WETU UNAUWA SOKA
Wachambuzi wengi na watangazaji wa mpira tumefeli sana kwenye tukio la kelvin kumtemea mate kwasi.
Tukio limekuzwa mno limekuwa ndio story kuliko hata mechi yenyewe na hii nikutokana na baadhi ya wachambuzi wengi kuingia uwanjan wakiwa na matokeo
Kelvin alifanya kazi kubwa kuhakikisha okwi na boko hawapi nafasi kabisa ya kuuchezea mpira aliziba njia zote wakishilikiana vizuri na dante
Wengi walitaraji yanga itafungwa gori nyingi na ndio wakwanza kupiga kelele na hii sio kuwa kweli kosa lile liliwakela hapana kilichowakela ni kushindwa kupata matarajio ya matokeo yao
Ukiwasikiliza sana wanaolilia kwenye vyombo vya habali niwale wale ambao walitoa utabili wao kuwa simba itashinda kwa kishindo wakimaanisha kwa gori nyingi
Hoja yao kubwa ni simba iko vizuri msimu huu imewasajili wachezaji wazuri kwa garama kubwa wakati yanga wachezaji wake sio wapambanaji hawako vizuri wakisahau kuwa mpira ni dak 90 na yeyote anaweza kushinda
Nijuzi tu ambapo yanga ilikuwa inacheza na singida kelvin huohuo alifanyiwa tukio kama hilo hilo na kotinyo ambapo ilileta tahaluki na mpira ukasimama kwa dak moja mwamuzi alioneshwa mate yale sikioni wote tuliona lkn hakuna mchambuzi alosimama na kupiga kelele
leo tukio hilo linafanywa na kelvin kila mtu ndo habari kubwa tumefukia kitendo alichokifanya kichuya kwa kesy na mwamuzi kafumbia macho
Tumemkalia kimya okwi ambae alifanya vitendo ambavyo sio vya kiungwana dhidi ya kipa youthe wakati anaanzisha mpira alimsukuma kaanguka chini refa hakuona
Najiuliza hivi kosa kutema mate au mate ya kelvin kwenda kwa kwasi? Kosa hili limeanza leo au lipo kama lipo na mamlaka husika zipo
tukio zililiona kwa nn tunazielekeza kazi ya kufanya kwamba ichukue hatua na wengine wanahoji kabisa sijui inakaa lini? Mbona hatoi hukumu mala apigwe faini , mwingine asimamishwe mechi nashindwa kuelewa kuwa ivi sheria zipo tunazifwata au matukio yakitokea ndipo tunatunga sheria
Nakubali kumtemea mate mtu nitendo baya lkn isiwe ndio habali tunauua mpira tunauwa vipaji vya wachezaji wetu tusiwe na midomo michafu pindi wachezaji wetu wanapoteleza tuweke pembeni unazi tuuchambue mpira
By onesmo righton mwaki
Tukio limekuzwa mno limekuwa ndio story kuliko hata mechi yenyewe na hii nikutokana na baadhi ya wachambuzi wengi kuingia uwanjan wakiwa na matokeo
Kelvin alifanya kazi kubwa kuhakikisha okwi na boko hawapi nafasi kabisa ya kuuchezea mpira aliziba njia zote wakishilikiana vizuri na dante
Wengi walitaraji yanga itafungwa gori nyingi na ndio wakwanza kupiga kelele na hii sio kuwa kweli kosa lile liliwakela hapana kilichowakela ni kushindwa kupata matarajio ya matokeo yao
Ukiwasikiliza sana wanaolilia kwenye vyombo vya habali niwale wale ambao walitoa utabili wao kuwa simba itashinda kwa kishindo wakimaanisha kwa gori nyingi
Hoja yao kubwa ni simba iko vizuri msimu huu imewasajili wachezaji wazuri kwa garama kubwa wakati yanga wachezaji wake sio wapambanaji hawako vizuri wakisahau kuwa mpira ni dak 90 na yeyote anaweza kushinda
Nijuzi tu ambapo yanga ilikuwa inacheza na singida kelvin huohuo alifanyiwa tukio kama hilo hilo na kotinyo ambapo ilileta tahaluki na mpira ukasimama kwa dak moja mwamuzi alioneshwa mate yale sikioni wote tuliona lkn hakuna mchambuzi alosimama na kupiga kelele
leo tukio hilo linafanywa na kelvin kila mtu ndo habari kubwa tumefukia kitendo alichokifanya kichuya kwa kesy na mwamuzi kafumbia macho
Tumemkalia kimya okwi ambae alifanya vitendo ambavyo sio vya kiungwana dhidi ya kipa youthe wakati anaanzisha mpira alimsukuma kaanguka chini refa hakuona
Najiuliza hivi kosa kutema mate au mate ya kelvin kwenda kwa kwasi? Kosa hili limeanza leo au lipo kama lipo na mamlaka husika zipo
tukio zililiona kwa nn tunazielekeza kazi ya kufanya kwamba ichukue hatua na wengine wanahoji kabisa sijui inakaa lini? Mbona hatoi hukumu mala apigwe faini , mwingine asimamishwe mechi nashindwa kuelewa kuwa ivi sheria zipo tunazifwata au matukio yakitokea ndipo tunatunga sheria
Nakubali kumtemea mate mtu nitendo baya lkn isiwe ndio habali tunauua mpira tunauwa vipaji vya wachezaji wetu tusiwe na midomo michafu pindi wachezaji wetu wanapoteleza tuweke pembeni unazi tuuchambue mpira
By onesmo righton mwaki
Comments
Post a Comment