HALI SI SHWALI MBALALI MBEYA
News Alert: Hali ya Mbarali ni mbaya; zaidi ya wanaCHADEMA 30 wamerundikwa ndani
Hali
ya Mbarali ni mbaya; zaidi ya wanaCHADEMA 30 wamerundikwa ndani; wakina
mama kama 12. Wameteswa na kumwagiwa maji na kugalagazwa chini kwenye
kituo cha polis Rujewa. Kuna hadi mzee anaekadiliwa kuwa miaka kati ya 70 na 75 katolewa hadi
shati yupo kifua wazi
Wengi wamekamatwa usiku, wengine leo baada ya taharuki iliyo tokea jana
Kapunga kwenye upigaji kura. Na leo hii baadhi ya maeneo uchaguzi
unarudiwa. baadhi ya wapiga kura wa CHADEMA wapo ndani
Katibu wa wilaya Mbarali Nicko yupo polis sasa na madiwani wawili wakijaribu kufanya taratibu za kujua kinacho endelea.
mpaka sasa mnyukano kati ya polisi na wananchi ni mkali wananchi wamechoma moto duka la mtendani wa kata wakidai kuwa mdendaji wao ndie anasababisha vurugu hizo kutokea kwa kile walicho kieleza kuwa hakutenda haki wakati wa zoezi la upigaji kura
polis mbalali wameomba msaada kutoka mbeya ili waweze kuongezewa nguvu
Comments
Post a Comment