NYOTA YA MZALIWA WA KWANZA
Kama unaitaji kujua nyota ya mtoto wa kwanza kuzaliwa katika familia na changamoto ambazo anaweza kukabiliana nazo tufwatane pamoja.
Mtoto wa kwanza kuzaliwa nimtoto mwenye nguvu na aliebeba baraka zote za familia. Nimtoto ambae kwa asilimia kubwa anabeba majukumu ya familia nakuwa mbadala wa wazazi wake pindi wanapochoka au kuzeeka.
Mtoto wa kwanza ananyota gani?
Mtoto huyu ananyota kadha lkn hapa tutaziangalia chache kama ifuatavyo:-
1) nyota ya kupendwa.
2) nyota utajiri
3) anakuwa na mvuto
4) kuwa na mamlaka
5) kuwa na nyota ya amani na faraja
6) ana nyota ya elimu na maisha mazuri
Nanyingine nyingi ambazo tutaziangalia hapo badae endapo zitahitajika
je nini maana ya nyota?
Nyota ni kipaji au neema ambayo mtu hujaaliwa na mwenyezi mungu pindi tu anapozaliwa . kipawa hicho huwa kikitunzwa vizur hufanyika lulu kwake kwani ndio maisha yake halisi na kumfanya aishi vyema
Mungu anaitambua sana nguvu ya mtoto wa kwanza na mamlaka alionayo ndio maana hata wakati anamtoa yesu kuja kukomboa ulimwengu alisema huyu ni mwanangu mpendwa msikilizeni atakayo wafundisha myashike
Nizipi changamoto za mtoto wa kwanza?
Shetani anatambua kuwa mtoto wa kwanza ndio ngao ya familia hivyo hutumia hila mbalimbali kuhakikisha anakuangusha badala yake kuishia kuzaraulika
Shetani anajua kuwa akisha mshika mzaliwa wa kwanza atakuwa amefanikiwa kuharibu familia nzima kwani wote wanaofwatia watafwata nyendo zako kwasababu ndio anaonekana kama kio kwao hivyo kila atachokifanya
Kupokwa mamlaka ulionayo kama mzaliwa wa kwanza utatekwa na shetani ni rahisi sana kupoteza sifa za kuwa mzaliwa wa kwanza japo utabakia kuwa wa kwanza kwa hesabu za nje na muonekano lkn hutakuwa na mamlaka katika ulimwengu wa roho
Mambo ambayo yanaweza kukupotezea sifa za mzaliwa wa kwanza ni:-
1) ulevi wa kupindukia
2) kutojihusisha na mambo yanayohusu familia
3) kutokuwa na msaada wowote katika familia
4) kushindwa kujiheshimu na kuwaheshim wengine
5) kuukataa ukwel kuwa wewe ninguzo ya familia
6) kuwazarau wazazi , wanaweza kukulaan na kukuondelea mamlaka yako
Nini maana ya nguzo
Nguzo nikitu cha kwanza kuwepo mahal au kitu cha kwanza kusimikwa alafu vingine vikafwatia
Itaendelea........by onesmo righton mwaki
Mtoto wa kwanza kuzaliwa nimtoto mwenye nguvu na aliebeba baraka zote za familia. Nimtoto ambae kwa asilimia kubwa anabeba majukumu ya familia nakuwa mbadala wa wazazi wake pindi wanapochoka au kuzeeka.
Mtoto wa kwanza ananyota gani?
Mtoto huyu ananyota kadha lkn hapa tutaziangalia chache kama ifuatavyo:-
1) nyota ya kupendwa.
2) nyota utajiri
3) anakuwa na mvuto
4) kuwa na mamlaka
5) kuwa na nyota ya amani na faraja
6) ana nyota ya elimu na maisha mazuri
Nanyingine nyingi ambazo tutaziangalia hapo badae endapo zitahitajika
je nini maana ya nyota?
Nyota ni kipaji au neema ambayo mtu hujaaliwa na mwenyezi mungu pindi tu anapozaliwa . kipawa hicho huwa kikitunzwa vizur hufanyika lulu kwake kwani ndio maisha yake halisi na kumfanya aishi vyema
Mungu anaitambua sana nguvu ya mtoto wa kwanza na mamlaka alionayo ndio maana hata wakati anamtoa yesu kuja kukomboa ulimwengu alisema huyu ni mwanangu mpendwa msikilizeni atakayo wafundisha myashike
Nizipi changamoto za mtoto wa kwanza?
Shetani anatambua kuwa mtoto wa kwanza ndio ngao ya familia hivyo hutumia hila mbalimbali kuhakikisha anakuangusha badala yake kuishia kuzaraulika
Shetani anajua kuwa akisha mshika mzaliwa wa kwanza atakuwa amefanikiwa kuharibu familia nzima kwani wote wanaofwatia watafwata nyendo zako kwasababu ndio anaonekana kama kio kwao hivyo kila atachokifanya
Kupokwa mamlaka ulionayo kama mzaliwa wa kwanza utatekwa na shetani ni rahisi sana kupoteza sifa za kuwa mzaliwa wa kwanza japo utabakia kuwa wa kwanza kwa hesabu za nje na muonekano lkn hutakuwa na mamlaka katika ulimwengu wa roho
Mambo ambayo yanaweza kukupotezea sifa za mzaliwa wa kwanza ni:-
1) ulevi wa kupindukia
2) kutojihusisha na mambo yanayohusu familia
3) kutokuwa na msaada wowote katika familia
4) kushindwa kujiheshimu na kuwaheshim wengine
5) kuukataa ukwel kuwa wewe ninguzo ya familia
6) kuwazarau wazazi , wanaweza kukulaan na kukuondelea mamlaka yako
Nini maana ya nguzo
Nguzo nikitu cha kwanza kuwepo mahal au kitu cha kwanza kusimikwa alafu vingine vikafwatia
Itaendelea........by onesmo righton mwaki
Endelea
ReplyDeleteThis comment has been removed by the author.
ReplyDelete