Ajali mbaya yatokea
Mwendesha pikipiki mmoja maarufu kama bodaboda amejeruhiwa vibaya sana baada ya kugongwa na gari ya polisi lenye namba ya usajili pt 2012
Ajali hio imetokea leo asubui majila ya saa moja kibaha maeneo ya hospitali ya mkoa wa pwani ambapo
Bodaboda huyo ambae jina wala kabila lake halikuweza kupatikana mapema amekimbizwa na kulazwa katika hospitali ya mkoa pwani
Mashuhuda wa ajari hio wanalipoti kuwa chanzo cha ajali hio ni mwendo kasi alokuwa nao boda boda ambapo alijikuta kupalamia gari bada ya kushindwa kukata kona na kukaa kwenye saiti yake
Bodaboda huyo anaonekana kaumia sana mguu wa kushoto ambao umevunjika na kupata mchubuko mkubwa na kuvunjika mkono wa kulia
By onesmo righton
By onesmo righton
Comments
Post a Comment