Kama unaitaji kujua nyota ya mtoto wa kwanza kuzaliwa katika familia na changamoto ambazo anaweza kukabiliana nazo tufwatane pamoja. Mtoto wa kwanza kuzaliwa nimtoto mwenye nguvu na aliebeba baraka zote za familia. Nimtoto ambae kwa asilimia kubwa anabeba majukumu ya familia nakuwa mbadala wa wazazi wake pindi wanapochoka au kuzeeka. Mtoto wa kwanza ananyota gani? Mtoto huyu ananyota kadha lkn hapa tutaziangalia chache kama ifuatavyo:- 1) nyota ya kupendwa. 2) nyota utajiri 3) anakuwa na mvuto 4) kuwa na mamlaka 5) kuwa na nyota ya amani na faraja 6) ana nyota ya elimu na maisha mazuri Nanyingine nyingi ambazo tutaziangalia hapo badae endapo zitahitajika je nini maana ya nyota? Nyota ni kipaji au neema ambayo mtu hujaaliwa na mwenyezi mungu pindi tu anapozaliwa . kipawa hicho huwa kikitunzwa vizur hufanyika lulu kwake kwani ndio maisha yake halisi na kumfanya aishi vyema Mungu anaitambua sana nguvu ya mtoto wa kwanza na mamlaka alionayo
Sanaa ninini basi. Waweza kusema sanaa nikazi kama zilivyo kazi zingine lkn pia kitaalamu sanaa niule ufundi wa kuwasilisha mawazo yalio katika fikra za mtu kwenda kwa mtu mwingine Au ni lile jambo ambalo mwandishi amelisema katika kazi ya fasihi MATAWI YA SANAA kuna vipengele au matawi kadha vya sanaa ambayo ni:- 1) maigizo 2) ususi 3) uchongaji 4) uchoraji 5) ufumaji 6) uimbaji 7) uchekeshaji Unawezaje kuwasilisha sanaa yako kwa watu wengine? Kwanza nikwanjia ya kuamini kuwa unaweza kisha wasilisha sanaa yako na sanaa inawasilishwa kwa njia ya mandishi, maneno na vitendo
katika utawala wa mfalme mmoja alie fahamika kwa jina la mfalme jakata kipete huko mashariki ya mbali kulitokea ugonjwa mbaya sana ambao ulifahamika kwa jina la dusha uliwatesa sana wanakijiji wa ngome ya jakata kwa mda mrefu bila mafanikio hakuna kiongozi yeyote alie wai kusimama na kulisemea tatizo hilo wala kujali ukubwa wa tatizo hivyo kulifanya tatizo likuwe nakua kubwa kutokana mwingiliano wa watu basi asilimia kubwa ya wanakijiji hao waliugua ugonjwa huo maisha halisi ya wanakijiji hao walishindwa jinsi ya kulidhibiti tatizo hilo hivyo likakuwa nakukuwa mala dufu zaidi hali ambayo ilisababisha kusambaa kuanzia wanajijiji wa chini mpaka viongozi wa juu lilipo fika juu na kumkuta mkuu wa ngome lilibadilishwa jina nakuitwa tenzi gume na baada ya kuona hilo mkuu wa ngome huo akondoka kwenda kijiji cha pili ili kwenda kutibia tatizo hilo alipofanikiwa kulitibia hilo akarudi na kuanza kuaadisia wana kijiji huku akielezea ukubwa wa tatizo lakini ilitumia fursa hiyo kuwadisia
Comments
Post a Comment