MLISHO MPOTO ATEULIWA KUWA BALOZI
Msanii wa Tanzania Mrisho Mpoto maarufu kama `Mjomba` ameteuliwa kuwa Balozi wa kupiga vita maradhi ya ugonjwa wa ebola kwa nchi za afrika huku akiiomba serikali kumuongezea nguvu katika kutoa elimu ya kuepuka ugonjwa huo ambao umeendelea kuwa tishio kwa nchi za afrika magharibi siara lione, guinea na laiberia na kusababisha vifo vya watu zaidi ya elfu nne mpaka sasa.
Comments
Post a Comment